Top Story
Hofu yatanda
Leo ni siku iliyopangwa kufanyika maandamano yaliyoitishwa na Chadema, ambayo hata hivyo yamepigwa marufuku na serikali. Chadema wamekmia na kuapa kuendelea nayo, huku Jeshi la Polisi likieka ngumu. Sasa kuna hofu imetanda kila mahali.